Add a Comment
DU!!!!....Senge babe!!!!!!!!!!
ptuuu!! Mungu pitisha mbali,.hivi hakuna dawa ya kufanya hao waliozaliwa na homons za kike wawe na za kiume? na inakuwaje hadi binadamu aone sehemu ya haja kubwa ni sehemu ya kumalizia haja za mapenzi? jamani ptuu me huwa napata baridi yabisi nikisikia habari za namna hii.
Ushoga noma,lakinini noma kwetuAfrica,ama huko majuu ushoga dili,usipojitangaza utakosa soka,inabidi kama hivyo unachangamka kwa kujiweka wazi ili wamiminike wajanja!.Najivunia kuwa Mwafrica wa Bara la Africa hasa Mtanzania maana huo uchafu sio utamaduni wetu Africa!.
Jitu kubwa kumbe ubwabwa!!! Pumbafu!!!
kweli kabisa Mjata ulichosema bravoooo
hizi tabia kitaalamu ni mchezo wa homoni wengine wanazaliwa wakiwa na ashki za kike na tabia za kike,kila jinsia inatabia zake zikiongozwa na homoni za jinsia hiyo.wanao niudhi ni wale wanaoiga au kufundishwa mwishowe inakua tabia hiyo ya ushoga.Tabia ya ushoga ni mbaya waafrika tuikatae
duuuh kwa hiyo wenzie wanamhemea kisogoni mshkaji aiiiyaaaaa
Mjata ndugu yangu kiukweli huu mpango mzima wa mwanaume kuwa bwabwa kiukweli hauniingii akilini yani nimebaki kuduwaa kweli watu hatumuogopi Mungu.
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge