Hivi ndivyo ilivyokua
Timu ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) imekubali kipigo cha 2-1 toka kwa Morocco katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia 2014 huko Brazil. Mchezo huo ulifanyika huko Morocco. Kwa matokeo haya Taifa Stars ina kibarua kigumu cha kuhakikisha inafuzu kucheza fainali hizo.
Katika Mchezo unaofuata Tanzania itacheza na Ivory Coast hapa Tanzania tarehe 16 Juni 2013 na tarehe 06 Sept 2013 itamaliza michezo yake kwa kucheza na Gambia huko Gambia.
Hadi sasa msimamo wa kundi C upo hivi:-
Add a Comment
kwani ivory coast hatuwezi kuwafunga subirini maajabu sasa
mjata usikate tamaa tukishinda mechi zote zilizobaki na iv0ry coast ikitoa droo au kufungwa na moroco tunapita sisi.
Taifa STARS HOYEEEEEEEEEEEEEEEE, hapo ndio mwisho wa uwezo wetu vijana wamejituma at their level best turudi kijipanga kwaajili ya 2018.
© 2021 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge