RAIS wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete amehaidi kuwasaidia Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA) kwa kuiwezesha kupata fedha kwa ajili Vitambulisho vya Taifa ili kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015 watu wote watakuwa na vitambulisho vya Taifa vitakavyo tumika katika uchaguzi huo.
<
<
<
<
<
<
<
<
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge