Tulonge

Kumbe hiki ndicho kinamfanya Madam Ritha Paulsen kuwa kimya

Kifuatacho ndicho alichoandika kwenye ukurasa wake wa facebook:

Kumekuwa na maswali mengi ya kwanini sionekani na niko kimya sana. Kujibu maswali hayo ni kwamba nimekuwa siko sawa kiafya.

Lakini nashukuru Mungu sasa naendelea vizuri. Ahsanteni sana kwa kunionyesha upendo wenu.

Nawatakia weekend njema.

Views: 1271

Add a Comment

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

Comment by Bonaventura Angelo on May 22, 2013 at 18:08

pole sana

Comment by william massawe on May 15, 2013 at 10:44

pole sana!!!wat happened then?

Comment by Christer on May 13, 2013 at 14:27

Poleeeeeeeeeee

Comment by stela james on May 11, 2013 at 15:54

Pole Madam

Comment by Mjata Daffa on May 11, 2013 at 12:48

Ndio dunia, usidhani siku zote utakuwa kama ulivyo hujafa huja umbika, hayo ni majaribu rudi kwa mola wako bado anakupenda.

pole sana Madam

Comment by Jeath Justin Prosper on May 11, 2013 at 12:37

Tunakupenda......

Mungu yu mwema!

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*