Tulonge

Kwa hatua hii nadhani tutafika,Matangazo ya utalii wa Tanzania yakipita katika Luninga maalum wakati wa Mechi huko Sunderland

Views: 555

Add a Comment

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

Comment by Mama Malaika on November 13, 2012 at 11:14

wakenya walishatupiga bao kwa kupokea pato kubwa la wapandaji mlima Kilimanjaro kwani wana strategic action plan nzuri sana kwenye utalii kitu ambacho Kenya wanapokea more than 70% ya wasafiri wote toka magharibi waendao panda Kilimanjaro na kuwaingiza TZ. Kenyan Tour Operators wanatoa package nzuri ya mlima Kilimanjaro ambayo inaunganisha mbuga za wanyama za kwao (Maasai Mara, etc.) na baada ya hapo wanakupelekeni Hotels nzuri sana zilizoko beach za Mombasa, Wami, etc. bila nyongeza ya malipo.

Comment by Mama Malaika on November 13, 2012 at 10:36

Tatizo hilo tangazo wanaoliona ni wachache na siajabu ni wale wenye blue blood (mabaguzi wasiotaka kusafiri nje ya nchi yao). Sijaliona kwenye tube stations (train stations) za London kwani watu maelfu tunakatiza kwa muda wa kila saa moja kwenda makazini. Wafanye haraka kuweka kwenye tube stations na kwenye airports kubwa za London kwenye terminals zote za Heathrow na Gatiwck airport ambako kunapita mamilioni ya watu kwa siku moja peke yake toka dunia nzima wanaoingia Britain au wanaokatiza (transits) kuingia Europe, kwenda Africa, Americas, Asia, n.k

Comment by KUNAMBI Jr on November 7, 2012 at 17:33

hatujalipa mabilioni bhana hiyo habari nimeipost nusu tu,ningeweka nzima nzima hapa muone 

Comment by Alfan Mlali on November 7, 2012 at 12:21

Kutangaza sio issue..Kama alivyosema Dixon ulizia gharama zilizotumia unaweza ukalia

Comment by Dixon Kaishozi on November 6, 2012 at 14:44

Utasikia kuwa Tumelipa Mabilioni kadhaa kurusha hayo matangazo.. tehehehehehehee Chezea watu wewe..

Comment by Amos Mkamba on November 6, 2012 at 11:49
Nimeipenda hiyo pia! Bt isiishie hapo tu!
Comment by Tulonge on November 6, 2012 at 11:40

Nimeipenda hii

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*