Tulonge

Majeruhi wa mlipuko wa petroli baada ya mwanafunzi wa VETA Dodoma kujilipua

Mtoto Shabani P. Shaban wa darasa la tatu alikutana na janga hili baada ya kwenda kwa fundi kuchukua nguo zake za shule ambapo ni eneo jirani na mlipuko huo ulipotokea. Mh Mbunge wa Dodoma Mjini David Mallole ameahidi kumlipia ada yake ya shule.

Mbunge wa Dodoma mjini Mh Dr David Mallole, alipoenda kuwatembelea wahanga wa mlipuko wa Petrol katika hospital ya mkoa wa Dodoma,General Hospital na kutoa pole kwa wagonjwa waliopatwa na janga hilo kwa kuwapatia pole pamoja na msaada wa pesa ya dawa kwa kila mmoja

Chanzo:Bossngasa blog

Views: 951

Add a Comment

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

Comment by sakina mgaya on July 13, 2013 at 13:18

daa polen sana majeruhi

Comment by David Edson Mayanga on July 9, 2013 at 15:09

BIG UP MH MBUNGE WA DODOMA MR DAVID MALLOLE

Comment by jacquerin gideon makoyola on July 9, 2013 at 10:44

Mh hii nayo kali

Comment by chaoga on July 9, 2013 at 9:25

daaah kuna watu wanajua kupenda jamani....sasa ugomvi wako wa mapenzi unaleta hasara hadi kwa wengine bwana.. huyo binti nae inabidi ahojiwe vizuri..

Comment by Christer on July 9, 2013 at 8:00

Poleni sana

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*