Ni kama miujiza kwa mtoto wa kichina kuwa hai mpaka sasa licha ya kuchomwa chomwa mara 90 na mama yake mzazi huko China kwa madai kuwa alimng’ata ziwa mama yake wakati akinyonyesKwa mujibu wa Daily Mail mtoto huyo Xiao Bao mwenye miezi 8 tu ameshonwa zaidi ya nyuzi 100 ili kuurudisha uso wake katika hali nzuri baada ya shambulizi hilo lililotokea katika jiji la Xuzhou mashariki mwa China.
Baada ya tukio hilo majirani wa familia hiyo wameiomba serikali imnyang’anye mama huyo wa kichina mtoto kwa sababu za kiusalama, lakini ombi hilo limekataliwa kwa madai kuwa hakuna uthibitisho wowote mpaka sasa kama mwanamke huyo anamatatizo ya akili, lakini wameongeza kuwa hata hivyo mtoto huyo bado ana walezi wengine wawili anaoishi nao (wajomba zake) Mtoto huyo anaendelea kupata nafuu akiwa hospitali.
Via: Audiface Jackson Blog
Add a Comment
mhuuuu!!
mmh
Kichaa huyo mama, kweli achunguzwe akili.
mhhh kama ni kweli bas huyo mama achunguzwe lazima ana matatizo ya akili sio bure
Dah!!!! najiuliza kale kamsemo kama kana ukweli juu ya hili.... Uchungu wa mwana aujuae ni MZAZI...
Kiukweli huyo mwanamke ana roho ya kikatili sana, anastahili adhabu kali ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge