Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Joyce Ndalichako akionyesha karatasi ya majibu ya mmoja wa watahiniwa wa mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2012, Dar es Salaam jana. Picha na Edwin Mjwahuzi
Fredy Azzah, Joyce Mmasi
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inaweza kukumbwa na kashfa kubwa kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne ya 2012 yaliyotangazwa juzi na Waziri wake, Dk Shukuru Kawambwa.
Soma zaidi: mwananchi.co.tz
Add a Comment
Usipoziba ufa utajenga ukuta; yapo mengi ya kusema ila nadhani kilichokosewa ni kuruhusu viongozi kupeleka watoto wao ktk shule binafsi na nje ya nchi. Kama watoto wa vigogo wangekuwa wanasoma ktk shule hizi basi mambo yangekuwa kama kipindi cha Mwalimu Nyerere(RIP). Yatupasa kupinga kwa nguvu na ingewezekana watu wote kuingia barabarani kupinga jambo hili na nadhani Vyama vya siasa vingekuwa vinaangalia mambo kama haya bila kujali maslahi zao binafsi. Tupambane na haya maana leo ni mtoto wa jirani kesho ni mtoto wako. Je tunajenga kizazi cha namna gani? Hili ni swali kwa wote ndugu zangu.............................................................. nalia sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Asante
Tukubali tukatae mitaala ya elimu ndio mbovu maana kila waziri wa elimu anayeingia analeta lake jipya hadi walimu wanachanganyikiwa wafundishe nini na wanafunzi wanashindwa wasome nini. Iwekwe mitaala inyoeleweka. Pia walimu serikali yetu haiwathamini ndio matunda haya tuliopata ya watoto kufeli. Serikali ikae upya na walimu wamalize madai ya walimu na waombe msamaha kwa walimu kwa maneno waliowatamukia walimu kipindi cha migomo ya walimu.
-Pa1 na mengineyo, pia hizi shule zao za kata wanazozianzisha kama njugu bila kupeleka walimu wa kutosha na vitendea kazi zimeongeza hiyo miziro.
viongozi wa serikali hawasomeshi watoto wao kwenye hizi shule hohehahe humu ni sisi watanzania wa kawaida ambao hata hatuhitaji mtaala kwa hiyo acheni watukane,wachole,waandike mashahiri ya bongo fleva na kujadili yasio husiana ki taalamu inaitwa extra curriculum kwa tafsiri isiyo rasmi mtaala wa ziada tena kwa maoni yangu wanatakiwa kusahishiwa ni wabunifu.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.....!
© 2022 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge