Huu ulikua ni usiku mnene eneo la Feri umbande wa Magogoni DSM, nilimkuta mama huyu akiwa amelala ndani ya eneo ambalo abiria hukaa kusubiri kivuko. Mchana mama huyu na wanae watatu huonekana wakiomba hela ili kukidhi mahitaji yao.
Fikiria watoto hawa wanapata wakati mgumu kiasi gani. Wakati wenzao wakiwa wamelala kwenye vitanda vyenye magodoro mazuri, wao wamelala kwenye mabox tena bila chandarua. Yu wapi baba wa watoto hawa? Sikupata muda wa kumuuliza chochote mama huyu ili kujua mengi zaidi kuhusu maisha yake.
Add a Comment
jamani sikupenda kwake mama huyu nadhani maisha ndiyo yamemzonga sana zaidi nalekeza lawama kwa sisi wanaume maana mzigo aliyonao mama huyu watoka kwetu tunajuwa kupachika mimba lakini mukikosana huwajui hata watoto wako wanaume tunadhalilisha watoto na kina mama tuwajibikeni sana au tutakuja pata shida ambazo huwezi kuzitatuwa na hizo shida ni madhambi ya kuwatesa malaika wa mola wetu lo jamani nampa pole huyu mama na kumwombea dua afanikiwe katika maisha ili awawke watoto wake mahali pazuri
kazi ni kwako Omary ha ha ha
© 2023 Created by Tulonge.
Powered by
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge