Majadiliano ya kimataifa ya nchi za Afrika kwa manuafaa ya wote yameingia katika siku ya pili ambao washiriki wakiwemo wakuu Wa nchi mbalimbali wameanza kujadili namna ya kutegemea sayansi na teknolojia katika kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa haraka zaidi bila ya kuathiri haki za binadamu
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge