Tulonge

Whitney na Michael wanaweza rudia pozi hili endapo ni kweli watu hukutana mbinguni baada ya kufariki.

Ni pozi zuri sana,wanaonekana ni wenye furaha sana. Kama ni kweli watu hukutana mbinguni baada kufariki, basi nadhani Whitney na Michael lazima watakumbushia pozi hili. Sijui nani atakua mpiga picha huko walipo? Tunawaombea wapumzike kwa amani.


Views: 785

Add a Comment

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

Comment by Mama Malaika on February 16, 2012 at 5:04

Ha haa haaa... mwanivunja mbavu hasa Bonielly na Angela.

Naona bora tufumbe macho (afanyavyo Stevie Wonder) na tusikilize utamu wa music alotuwekea Belita na sio kujali nywele au muonekano wao.

Comment by Dixon Kaishozi on February 15, 2012 at 20:32

HAHAHAHAHAAAAAAA... sitii neno tena.. hahaaa

Comment by Alfan Mlali on February 15, 2012 at 18:13

Angela party ijayo mi nakutaka wewe sitaki mzungu wala mchina...

Comment by Alfan Mlali on February 15, 2012 at 18:13

hahahahahhaa! We dixon usiweke kwenye kundi la machizi mimi mzima wa afya....lol

Comment by Bonielly on February 15, 2012 at 16:27

angela nitampeleka loliondo kwa babu akapate kikombe,

Comment by Dixon Kaishozi on February 15, 2012 at 16:22

Hahahaaa.. yani wote humu hamnazo.. mwanipa raha tupu.. Angela, Bonielly sasa naona na Alfan anakuja pia.. hahahahahaaa

Comment by ANGELA JULIUS on February 15, 2012 at 16:03

NAJUA SANA KUWA NI WEUSI HATA MAMA YAKE HOUSTON NAMJUA NILIONA PICHA YAO WAKATI WAKIPIGA NIGHT DISCO MIAKA HIYO HUJAZALIWA, UKINISOMA VIZURI UTANIJUA NAMAANISHA NINI HALAFU SIJUI KWA NINI UNAPATA NETWORK UKIWA NA KICHAA HA HA HAH A

Comment by Bonielly on February 15, 2012 at 15:57

wewe angela acha ushamba, hakuna mzungu, huyo michael na whitness wote waswahili piwa, we mgeni nini? uliza au unababaika na nywele za michael?

Comment by ANGELA JULIUS on February 15, 2012 at 15:46

SASA ALFAN INAHUUUUU HATA KAMA WALISHAWAHI KU DO. WEWE ULIEEE TUU NAJUA UNA HAMU NA MZUNGU HA HA HA HA HA HA HA NEXT PARTY NAKULETEA MZUNGU HA HAHAH A

Comment by jemadari mimi on February 14, 2012 at 19:03

Lkn jamani si mnaiona hii picha hapo,sasa dismas umeiona halafu umechuna tu bila kusema lolote mkuu wa kitellengency,ebu niambie kipi tunajifunza toka kwao hawa ,kipi tushike jamani ,muziki wao, mavazi, ama tabia zao

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*