Salama Mr Tyulong? Mdingi yuko kwa page yangu kaona picha ya Umaga uliyoiweka akaniuliza maana apenda sana Wrestling, nilivyo tafsiri nini umeandika acha aangue kicheko. Ha haaa haaaa haaaaaa
angela alinikimbia kwahiyo nilikuwa na mawazo sana, kuna jamaa anafuga mbuzi kwahiyo angela kanitosa kwa sababu nafuga kuku, lkn nashukuru kwa sasa nimeshamsahau mtaniona kama kawa,
Ha haa haa haa haaa.... Ukizingatia mdingi misuli imeaababishwa na mazoezi ya mchezo wa Rugby basi hapatoshi. Na hao mabaunsa wawe watano, mmoja ashika kichwa, mwingine mguu mmoja, mwingine mguu wa pili, mwingine mkono mmoja, mkono wa pili. Ha haa haa haaa
Tulonge's Comments
Comment Wall (886 comments)
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge
Nachukua ngalawa nakufuata pale kisiwani mbele ya Mzee Jumbe...maaana naona net haikamati huko....tehhhhhh
Vp Mr.tulonge hujambo wewe.
Hamjambo? Umaga anakusalimu
Thanks Dogo. Miss u alot
mpe hi dogo na mama yake,
angela alinikimbia kwahiyo nilikuwa na mawazo sana, kuna jamaa anafuga mbuzi kwahiyo angela kanitosa kwa sababu nafuga kuku, lkn nashukuru kwa sasa nimeshamsahau mtaniona kama kawa,
habari mkuu
Welcome to
Tulonge
Sign Up
or Sign In
Or sign in with:
© 2023 Created by Tulonge. Powered by
Badges | Report an Issue | Terms of Service