Asante sana Kaka Dixon yap sina ubishi alietangulia katangulia. Cha the Great pamojah we can. Mr tulonge.com hata mbuyu ulianza kama mchicha acha wehu wewe kijana ila mzuka mwingi watu wangu
Mkuu Dixon now kweli umekuwa kidogo maana nasoma ulioyaandika yamejaa busara na lol.
Vipi kwema? A town keshokutwa jumamosi nakuja kula mbuzi choma nikiongozana na mzee mwenzangu Angela ila niandalie togwa
maana mie sinywi hayo maji ya mende lol.
Dixon Kaishozi's Comments
Comment Wall (235 comments)
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge
Kyooma....................
Heri ya Krismas na Mwaka mpya wenye mafanikio tele. Ubarikiwe sana.
Nakutona!!!!!........
Valued Relationship can never be sustainably maintained by one society being subservient to another Society.
Kibela nipo huku zenji napala samaki yani hao samaki wenyewe naopata walegevu kweli utafikiri wamebemendwaaaa nisiongee sana manake naweza ongea sivo ndivyoo, haya wape salamu huko Arushaaa
waiiiiiiiiiiiiiiiii,nimekumisije chalaanguu.
Habari ya makazi hii
Peace be unto U!
Peace be unto you!
PamoJah!
Hamna noma kaka, pa1 sana
Nuff Respect Nuff Love
PamoJah We Can help each other.
ONE LOVE ONE HEART ONE DESTINY!
Vipi kwema? A town keshokutwa jumamosi nakuja kula mbuzi choma nikiongozana na mzee mwenzangu Angela ila niandalie togwa
maana mie sinywi hayo maji ya mende lol.
Nimelipokeaje hilo li.hug,asante chaaangu kunikumbuka.
waiiiiiii namisije hizo chocho za ngaleloooo.
PamoJa.
Welcome to
Tulonge
Sign Up
or Sign In
Or sign in with:
© 2021 Created by Tulonge. Powered by
Badges | Report an Issue | Terms of Service