Amani iwe kwako ndugu! Kila Siku, Saa, Dakika na Sekunde ya uhai wako mkumbuke Mungu wako hasa kwa kutenda mema. Inawezekana usiende Msikitini au Kanisani lakini unatenda yale yaliyo mema; mfano kutoa chochote ulichonacho kwa yatima na watoto waishio mazingira magumu.
Dixon Kaishozi's Comments
Comment Wall (235 comments)
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge
HBD mkuu, kumbe na wewe ulizaliwa?
Oyaaaaaa,niaje chalaangu wa chuga.
aiseeee nimekumisije.
Amani iwe kwako ndugu! Kila Siku, Saa, Dakika na Sekunde ya uhai wako mkumbuke Mungu wako hasa kwa kutenda mema. Inawezekana usiende Msikitini au Kanisani lakini unatenda yale yaliyo mema; mfano kutoa chochote ulichonacho kwa yatima na watoto waishio mazingira magumu.
Ungana nami kwa kusema NDIYO kwenye link hiyo hapo: http://tulonge.com/forum/topics/sema-ndiyo-kwa-watoto ukiambatanisha (attach) ujumbe wowote.
Mimi binafsi nasema tuwapende na kuwajali watoto.
PamoJah
napita chaaaaaaaap....narudi kukupa sitori za lushago!! sawa kyooma?
Greeetingssss
sote ni ndungu watoto wa baba mmoja.
PamoJah
Dixon ulifaa sana kuwa comedian maana unaniua kwa kucheka na baba Koku. Ha ha haa haaa haa haa haa haaaa
Salama hapa? Mama kapita njaa yauma sana, sijui ile mihogo ya kuchemsha na viazi ulimaliza yote jana? teh teh teh
Nimefurahi pia kusikia sauti yako kupitia ya maadishi. Nakutakia mchana mwema Dixon.
Salama hapa? Naona mnafaidi tu na kina Alfan na Lucie, mie nakuja na mizinga yangu toka Scotland. Ha haa haa haaa....
Niaje pande hizi.
Marahaba! Nimeona picha yako, hata Obama haoni ndani. Ha haa haaa
Welcome to
Tulonge
Sign Up
or Sign In
Or sign in with:
© 2021 Created by Tulonge. Powered by
Badges | Report an Issue | Terms of Service