Tulonge

Belita's Comments

Comment Wall (352 comments)

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

At 12:03 on January 31, 2015, Mama Malaika said…
(((((( Belita )))))))
At 16:01 on July 10, 2014, Lilian said…

Belitaaaaaaaaaaaaa

At 6:50 on May 18, 2014, Moreen said…

Belita upo shosti?

At 11:14 on January 7, 2014, Mama Malaika said…
Happy New Year!
At 23:17 on November 11, 2013, Diana said…

Mimi mzima dada Belita, ww hujambo

At 0:07 on November 3, 2013, Lilian said…

Mrembo wa tulonge upo?

At 7:35 on October 3, 2013, Mama Malaika said…
Belita wangu nimeku miss sana. Mama auliza ni nani kakuficha hivyo?
At 21:57 on September 19, 2013, Wa Kimberly said…

Belita asante kunikumbuka mpenda.

Mi mzima wa afya tele.majukumu tuu yamekuwa mengi.

Uwe na wakati mzuri rafiki.

At 7:43 on September 17, 2013, Joan said…

Shost kwema?

At 18:18 on September 6, 2013, CHA the Optimist said…

Amani iwe kwako ndugu! Kila Siku, Saa, Dakika na Sekunde ya uhai wako mkumbuke Mungu wako hasa kwa kutenda mema. Inawezekana usiende Msikitini au Kanisani lakini unatenda yale yaliyo mema; mfano kutoa chochote ulichonacho kwa yatima na watoto waishio mazingira magumu.

Ungana nami kwa kusema NDIYO kwenye link hiyo hapo: http://tulonge.com/forum/topics/sema-ndiyo-kwa-watoto ukiambatanisha (attach) ujumbe wowote.

Mimi binafsi nasema tuwapende na kuwajali watoto.

PamoJah

At 9:53 on August 1, 2013, Swedi said…

Ahsante sana Belita Nilishakaribia siku nyingi tu ila nilikua sichat wala si coment sasa ndio nakaribia kimaukweliii.. Thanks

At 16:49 on July 22, 2013, Mama Malaika said…

Usihofu, najua uko kwa harakati za kukimbiza shillings maana imekuwa na speed kali kweli. LOL.... Nakutakia wakati mwema

At 9:34 on July 5, 2013, Wa Kimberly said…
Mrembo nimekumiss.
At 10:19 on June 7, 2013, Wa Kimberly said…
Mrembo upo??missim uuu
At 16:40 on February 15, 2013, Mama Malaika said…

Mama kapita kuacha baraka

At 6:07 on January 6, 2013, Tulonge said…

Amani ipo hapa?

At 21:19 on January 5, 2013, Mama Malaika said…

HAPPY NEW YEAR!

At 1:10 on December 12, 2012, Wa Kimberly said…

mrembo upoooo.

At 6:29 on December 9, 2012, Lilian said…

Safi dada Belita, mambo?

At 22:24 on November 14, 2012, Mama Malaika said…

Hi sweetie! Its always nice to see you. Usipotee sana mama anaku miss. Uwe na wakati mwema

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*