Hahahaha Kaka huko lazima nikuombe unikaribishe maana na mimi swala la kula linanichukulia muda sana haswa vyakula hivyo ulivyo nitajia da!! mate yananitoka kaka...!! Hiyo ndio starehe pekee iliyo na faida mwisho wake kaka.
Aisee! Hongereni sana,bila watu kama nyie sidhani kama marafiki tungekuwa tunakutana online kama hivi. Nimeitembelea blog yako,imesimama sana,keep it up man.
Hahahahahaa safi sana Mkuu mwili unajengwa kwa mapochopocho nakubali kabisa si unaona jinsi ulivyo toka chavu! Mambo poa kabisa maisha tu ndio yanabana, vipi huko unatunyima nini?
KUNAMBI Jr's Comments
Comment Wall (93 comments)
You need to be a member of Tulonge to add comments!
Join Tulonge
Welcome to
Tulonge
Sign Up
or Sign In
Or sign in with:
© 2023 Created by Tulonge. Powered by
Badges | Report an Issue | Terms of Service