Tulonge

Belita
  • Female
  • dar es salaam
  • Tanzania, United Republic Of
Share on Facebook MySpace

Belita's Friends

  • Chris deol
  • top
  • Omary Maftuhi Mwinshekhe
  • Bin Rasoul
  • lazaro philemon
  • Andrew Kisanga Junior
  • Wondie
  • Edgar John Kaaya
  • Jamaa Mmoja
  • stanley
  • Zacharia Elieza
  • Ibrahim Tunde
  • Malisa KILI
  • Hashim Said
  • ILYA

Belita's Discussions

Nawatakia Kwaresma njema rafiki zangu

Started this discussion. Last reply by Mama Malaika Mar 8, 2012. 10 Replies

Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Kwaresma njema wadau. Tuutumie wakati huu kumuomba…Continue

Michango ya harusi INANIKERA kweliiiiiiii.

Started this discussion. Last reply by eddie Oct 3, 2011. 27 Replies

Michango ya harusi ni moja kati ya vitu VINAVYONICHEFUA katika maisha yangu kwa sasa. Imekuwa ni kitu cha kawaida kwa watu kuchangisha wenzao pindi wanapotaka kuoa.Kwa nini usumbue wenzako kwa kutoa…Continue

Chuo maalum kwa ajili ya vijana wa kichagga kimefunguliwa hapa Kiborloni, Moshi.

Started this discussion. Last reply by KUNAMBI Jr Dec 16, 2010. 16 Replies

Kinatoa kozi zifuatazo:1. Ulevi - Mwezi mmoja 2. Ujambazi - Miezi sita 3. Kuchoma mtu kisu - Wiki moja4. Kuchoma nyama kwenye baa - Miezi miwili5. Kung'arisha viatu - Wiki tatu (maalum kwa vijana wa…Continue

 

Belita's Page

Latest Activity

Mama Malaika left a comment for Belita
"(((((( Belita )))))))"
Jan 31, 2015
Lilian left a comment for Belita
"Belitaaaaaaaaaaaaa"
Jul 10, 2014
Moreen left a comment for Belita
"Belita upo shosti?"
May 18, 2014
Belita left a comment for CHA the Optimist
"Cha mzima"
May 18, 2014

Belita's Photos

  • Add Photos
  • View All

Comment Wall (352 comments)

You need to be a member of Tulonge to add comments!

Join Tulonge

At 12:03 on January 31, 2015, Mama Malaika said…
(((((( Belita )))))))
At 16:01 on July 10, 2014, Lilian said…

Belitaaaaaaaaaaaaa

At 6:50 on May 18, 2014, Moreen said…

Belita upo shosti?

At 11:14 on January 7, 2014, Mama Malaika said…
Happy New Year!
At 23:17 on November 11, 2013, Diana said…

Mimi mzima dada Belita, ww hujambo

At 0:07 on November 3, 2013, Lilian said…

Mrembo wa tulonge upo?

At 7:35 on October 3, 2013, Mama Malaika said…
Belita wangu nimeku miss sana. Mama auliza ni nani kakuficha hivyo?
At 21:57 on September 19, 2013, Wa Kimberly said…

Belita asante kunikumbuka mpenda.

Mi mzima wa afya tele.majukumu tuu yamekuwa mengi.

Uwe na wakati mzuri rafiki.

At 7:43 on September 17, 2013, Joan said…

Shost kwema?

At 18:18 on September 6, 2013, CHA the Optimist said…

Amani iwe kwako ndugu! Kila Siku, Saa, Dakika na Sekunde ya uhai wako mkumbuke Mungu wako hasa kwa kutenda mema. Inawezekana usiende Msikitini au Kanisani lakini unatenda yale yaliyo mema; mfano kutoa chochote ulichonacho kwa yatima na watoto waishio mazingira magumu.

Ungana nami kwa kusema NDIYO kwenye link hiyo hapo: http://tulonge.com/forum/topics/sema-ndiyo-kwa-watoto ukiambatanisha (attach) ujumbe wowote.

Mimi binafsi nasema tuwapende na kuwajali watoto.

PamoJah

Belita's Blog

CHADEMA yaikalia kooni polisi kuhusu mauaji ya Morogoro

Posted on August 30, 2012 at 3:09 1 Comment

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakina imani na Tume iliyoundwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kuchunguza mauaji yanayodaiwa kufanywa na Polisi mkoani Morogoro wakati wa maandamano ya chama hicho.

Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akitoa taarifa juu ya tukio la mauaji ya muuza magazeti wa…

Continue

Whitney na Michael wanaweza rudia pozi hili endapo ni kweli watu hukutana mbinguni baada ya kufariki.

Posted on February 13, 2012 at 21:30 17 Comments

Ni pozi zuri sana,wanaonekana ni wenye furaha sana. Kama ni kweli watu hukutana mbinguni baada kufariki, basi nadhani Whitney na Michael lazima watakumbushia pozi hili. Sijui nani atakua mpiga picha huko walipo? Tunawaombea wapumzike kwa amani.…



Continue

Jamaa alazimishwa kufunga ndoa na MAITI ya aliyekuwa "girlfriend" wake.

Posted on December 17, 2011 at 20:32 5 Comments

Plans have been concluded by the family of a man, Ifeanyi Sunday, whose lover, Chinyere Ezeala, died in his home at Ejigbo, Lagos State, Southwest, Nigeria after rounds of sex, to marry the deceased as tradition demands in order to be able to bury her.

The late Chinyere was a final year student of the Lagos State University, LASU, Ojo before her death.

Families of the deceased and her lover allegedly reached this agreement at the Ejigbo Police Station where the matter was…

Continue
 
 
 

© 2023   Created by Tulonge.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

/* \uascript type="text/javascript">\udinsert below header image\udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud \uascript type="text/javascript">\ud insert below header image \udif (typeof(x$) != 'undefined') {\ud var postHeaderImageAd = '\uadiv id="postHeaderImageAd ">\ua\ua/div>';\ud x$("#xg_masthead").after(postHeaderImageAd);\ud}\ud /*