Kuna jamaa alilala mdomo wazi usiku,kwa bahati mbaya panya akaingia akifikili ni pango lake...jamaa alivyoenda hospitali kuangalia namna ya kumtoa panya huyo!!! Daktari wa zamu usiku huo akamwambia hakuna njia nyingine ya kumsaidia bali njia pekee iliyobaki ni kwa huyo mgonjwa kumeza paka ili akamtimue huyo panya.
Tags:
Teteheeteheteeeee, sasa panya atatoka, paka je? si atabaki humo humo tumboni. bora abaki panya coz ni mdogo kuliko paka, hahahahaa
duuuh ha ha ha ah huyo dokta nazani chakachua teh teh teh te...
Ipo kazi hapo hakuna jinsi borab wataaramu wameamua.
tehetheteheeeee!! huyu doc ndiyo yule wa hedek in the stomach nini?
Hahahahahahaha! Hiii kali aiseee.
© 2022 Created by Tulonge.
Powered by